Kuhusisha Siku Ya Maulidi Kwa Kuielezea
Siyrah Ya Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)
Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
Alhidaaya.com [2]
SWALI:
Mimi ni Imaam wa Masjid, nimeombwa na wanaoswali niwasomee Siyrah ya Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) siku ya Jumatatu ijayo tarehe 12 Rabiy’ul Awwal.
JIBU:
Hapana! Usiwasomee! Usiwasomee siku ya Jumatatu kamwe kwa sababu hiyo ni kwa ajili ya Jumatatu ambayo ni sawa na tarehe 12 Rabiy’ul Awwal, jambo ambalo ni bid’ah. Hivyo usiwasomee wala usiwaitike.
[Mawqi' Ar-Rasmiy li-Ma'aaliy Shaykh Swaalih bin Fawzaan] [3] [4]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/208
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/3745
[4] http://www.alfawzan.af.org.sa/node/3745]
[5] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7638&title=Shaykh%20Fawzaan%3A%20Maulidi%3A%20Kuhusisha%20Siku%20Ya%20Maulidi%20Kwa%20Kuielezea%20Siyrah%20Ya%20Nabiy%20%28%D8%B5%D9%84%D9%89%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%20%D8%B9%D9%84%D9%8A%D9%87%20%D9%88%D8%A2%D9%84%D9%87%20%D9%88%D8%B3%D9%84%D9%85%29