Hukmu Swiyaam Mwezi Wa Sha’baan
Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
Alhidaaya.com [2]
SWALI:
Je kuna lolote lilotajwa kuhusu Swiyaam ya Sha’baan? Nini Hukmu ya kuihusisha tarehe 15 mwezi wa Sha’baan kila mwaka kwa Swiyaam?
JIBU:
Na’aam. Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alikuwa akifunga Swawm katika Sha’baan na akifunga zaidi humo. Hivyo Sunnah ni kufunga katika Sha’baaan na kukithirisha kufunga.
[Mawqi' Ar-Rasmiy li-Ma'aaliy Shaykh Swaalih bin Fawzaan] [3]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/208
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/13726
[4] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8354&title=Shaykh%20Fawzaan%3A%20Sha%27baan%3A%20Hukmu%20Swiyaam%20Mwezi%20Wa%20Sha%E2%80%99baan