Kujifunza Lugha Za Kigeni Kwa Ajili Ya Da’wah
Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
Alhidaaya.com [2]
SWALI:
Nini hukmu ya kujifunza lugha za kigeni kwa ajili ya da’wah?
JIBU:
Ikiwa kujifunza ni kwa ajili ya hitajio la muhimu, basi hakuna ubaya kujifunza kwa ajili ya haja muhimu. Ama kujifunza tu kwa sababu ya kupenda tu, basi hairuhusiwi.
[Sharh ‘Umdatil-Fiqh Shariytw (4, Swali Namba 43)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/208
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8703&title=Shaykh%20Fawzaan%3A%20Kujifunza%20Lugha%20Za%20Kigeni%20Kwa%20Ajili%20Ya%20Da%E2%80%99wah%20