Wataingia Peponi Watu Ambao Mioyo Yao Ni Mfano Wa Mioyo Ya Ndege
Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
SWALI:
Nimesoma Hadiyth ambayo inasema: “Wataingia Peponi watu mioyo yao ni mfano wa mioyo ya ndege…”, nini maana yake?
JIBU:
Maana yake, (mioyo hiyo) haina husda. Ni (mioyo) mitupu isiyo na husda (ndani yake). Ni mioyo kama ya ndege; ndio, na Hadiyth imepokelewa kutoka kwa Rasuli (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam).
[http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/13800] [3]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/208
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/13800]
[4] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8753&title=Shaykh%20Fawzaan%3A%20Wataingia%20Peponi%20Watu%20Ambao%20Mioyo%20Yao%20Ni%20Mfano%20Wa%20Mioyo%20Ya%20Ndege%20