Katika Neema Mbili Allaah Alizonipa Sijui Ipi Ni Kubwa Zaidi
Mujaahid (Rahimahu Allaah)
Mujaahid (Rahimahu Allaah) amesema:
“Katika Neema mbili juu yangu (Alizoniruzuku Allaah) sijui ipi ni kubwa zaidi; Kuniongoza Kwake (Allaah) kwenye Uislamu, au Kunihifadhi Allaah kutokana na matamanio (upotofu).”
[Muqaddimatu Sunnan Ad-Daarimiy, mj. 1, uk. 92]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/224
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8770&title=Imaam%20Mujaahid%3A%20Katika%20Neema%20Mbili%20Allaah%20Alizonipa%20Sijui%20Ipi%20Ni%20Kubwa%20Zaidi