Maziwa Ya Lozi Ya Hiliki
Vipimo
Maziwa freshi – lita 1 na ½
Maziwa mazito (condensed milk) ½ kikombe
Lozi - ½ kikombe
Hiliki – ¼ kijiko
Asali au sukari - ukipenda kuongezea utamu
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/83
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9136&title=Maziwa%20Ya%20Lozi%20Ya%20Hiliki