Maandazi Ya Kusuka Ya Kunyunyuzia Sukari, Karameli, Chokoleti
Vipimo
Unga mweupe – vikombe 6
Sukari – vijiko 2 vya kulia
Hamira ya instant vijiko 2 vya kulia
Samli – kijiko 1 cha kulia
Mtindi – vijiko 2 vya kulia
Tui la nazi 2 ½ vikombe takriban
Hiliki – 1 kijiko cha chai
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Kidokezo:
Ukipenda tumia karameli zifuatazo:
Utengenezaji Wa Caramel Au Tofi Kwa Maziwa Mazito [2]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/105
[2] http://www.alhidaaya.com/sw/node/7315
[3] http://www.alhidaaya.com/sw/node/7316
[4] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9147&title=Maandazi%20Ya%20Kusuka%20Ya%20Kunyunyuzia%20Sukari%2C%20Karameli%2C%20Chokoleti