Kutawassal Kwa Waliofariki Makaburini Haijuzu Kwani Hawasikii Sauti Za Wanaowaomba
Al-Lajnah Ad-Daaimah:
www.alhidaaya.com [2].
‘Ulamaa wa Al-Lajnah Ad-Daaimah wamesema:
“Akishafariki mwana Aadam, masikio yake hayafanyi kazi wala hadiriki kusikia sauti za duniani wala kusikia maongezi yao kwani Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) Anasema:
وَمَا أَنتَ بِمُسْمِعٍ مَّن فِي الْقُبُورِ ﴿٢٢﴾
nawe huwezi kuwasikilizisha walioko kaburini. [Faatwir: 22]
[Fataawa Al-Lajnah Ad-Daaimah (1/478-479)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/203
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9292&title=Al-Lajnah%20Ad-Daaimah%3A%20Kutawassal%20Kwa%20Walio%20Makaburini%20Haijuzu%20Kwani%20Hawasikii%20Sauti%20Za%20Wanaowaomba