Kusoma Al-Faatihah Katika ‘Aqdi Za Ndoa Na Katika Misiba Ni Bid’ah
Al-Lajnah Ad-Daaimah
Haikuthibiti kutoka kwa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) wala kutoka kwa Maswahaba wake kwamba walikuwa wakisoma Al-Faatihah katika ‘Aqdi za Ndoa au katika misiba au katika mikataba ya biashara.
Na ingelikuwa hivyo (kusoma Al-Faatihah) ni khayr, basi wangelitutangulia (kufanya hivyo).
[Al-Lajnah Ad-Daaimah (19/46)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/203
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9525&title=Al-Lajnah%20Ad-Daaimah%3A%20Kusoma%20Al-Faatihah%20Katika%20%E2%80%98Aqdi%20Za%20Ndoa%20Na%20Katika%20Misiba%20Ni%20Bid%E2%80%99ah