Kuelekea Qiblah Wakati Wa Kusoma Qur-aan
Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
Alhidaaya.com [2]
SWALI:
Je, inawajibika kuelekea Qiblah wakati wa kusoma Qur-aan?
JIBU:
Inapasa kuelekea Qiblah kwa sababu kusoma Qur-aan ni ‘ibaadah, na ‘ibaadah inapendekezwa kuilekeza Qiblah. Basi ikiwezekana hivyo itakuwa ni katika ukamilifu (wa kutekeleza ‘ibaadah), lakini ikiwa hakuweza mtu kuelekea Qiblah basi hakuna ubaya.
[Al-Muntaqaa Min Fataawaa Ash-Shaykh Swaalih Al-Fawzaan (2/35)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/208
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9567&title=Shaykh%20Fawzaan%3A%20Kuelekea%20Qiblah%20Wakati%20Wa%20Kusoma%20Qur-aan