Mkate Wa Kumimina (Mkate Wa Sinia) -1
Vipimo
Mchele 1 Kikombe cha chai
Nazi ya unga 1 Kikombe cha chai
Sukari 1 Kikombe cha chai punguza kidogo
Maziwa vuguvugu (warm) 1 kikombe cha chai
Hamira 1 kijiko cha chai
Hiliki (Cardammom) 1/2 nusu kijiko
Ute wa Yai 1 yai moja
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/105
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F973&title=Mkate%20Wa%20Kumimina%20%28Mkate%20Wa%20Sinia%29%20-1