Kutamka Niyyah Katika ‘Ibaadah Ni Upungufu Katika Akili Na Dini
Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu-Allaah)
Amesema Shaykhul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu-Allaah):
Kutamka niyyah ni upungufu katika akili na Dini.
Ama katika Dini kwa sababu ni bid’ah, na katika akili ni kwa sababu ni sawa na ambaye anataka kula chakula husema: “Nanuia kuweka mkono wangu katika chombo hiki kwa kutaka nichote humo tonge la chakula niweke mdomoni mwangu kisha nimeze ili nishibe.”
Basi huu ni ujinga na upumbavu.
[Al-Fataawaa Al-Kubraa (2/213)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/204
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9913&title=Imaam%20Ibn%20Taymiyyah%3A%20Kutamka%20Niyyah%20Katika%20%E2%80%98Ibaadah%20Ni%20Upungufuu%20Wa%20Akili%20Na%20Dini