Mwanamke Anafaa Kuchinja?
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Je Mwanamke Anaruhusiwa Kuchinja Kichinjwa?
JIBU:
Inajuzu mwanamke kuchinja kichinjwa kwani asili ni mwanamke kushirikiana na mwanamme katika ‘Ibaadah.
[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/81)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10104&title=05-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3B%20Mwanamke%20Anafaa%20Kuchinja%3F