Unapochinja Unatakiwa Kusema Nini?
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Unasema nini unapochinja?
JIBU:
Anasema mtu anapotaka kuchinja:
بسم الله والله اكبر، اللهم هذا منك ولك اللهم هذه عني و عن اهل بيتي
((BismiLLaah, wa Allaahu Akbar, Ee Allaah hii ni kutoka Kwako na kwa ajili Yako, Ee Allaah hii ni kutoka kwangu na kwa kutoka kwa ahli yangu))
[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/55)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10109&title=10-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Unapochinja%20Unatakiwa%20Kusema%20Nini%3F