Zawadi Kwa Wanandoa
06-Kumuusia Mke
استحباب وصية الزوجة
Anas amesema: walikuwa Masahaba wa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) anapoelekea mke kwa mumewe, wanamuhimiza katika kumuhudumia mumewe na kuangalia na kuchunga haki zake.
Links[1] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9427&title=06-Zawadi%20Kwa%20Wanandoa%3A%20Kumuusia%20Mke%3A