Ugali Na Mchuzi Wa Samaki, Nyanya Mshumaa Za Kukaanga Na Achari
Vipimo Vya Ugali:
Unga wa mahindi - 4 vikombe
Maji - 6 kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Vipimo Ya Upishi Wa Mchuzi Wa Samaki Wa Kuchoma Wa Nazi
Samaki:
Samaki wa Nguru - kiasi vipande 5 - 6
Pilipili mbichi - 3
Kitunguu saumu(thomu/galic) - 5 chembe
Tangawizi mbichi - 1 kipande
Bizari ya samaki - 1 kijiko cha supu
Pilipili nyekundu ya unga - 1 kijiko cha chai
Ndimu - 3 kamua
Chumvi - kiasi
Mchuzi:
Nyanya/tungule - 3
Kitunguu - 2
Bizari ya manjano/haldi - ΒΌ kijiko cha chai
Mafuta - 3 vijiko vya supu
Tui la nazi zito - 3 vikombe
Chumvi - kiasi
Upishi wa Mboga Ya Nyanya Mshumaa/Chungu unapatikana katika kiungo kifuatacho:
Nyanya Za Mshumaa/Chungu Za Kukaanga [2]
Upishi wa Achari Tamu Na Kali Ya karoti Na Nyanya/Tungule unapatikana katika kiungo kifuatacho:
Achari Tamu Na Kali Ya Karoti Na Nyanya/Tungule [3]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/44
[2] http://www.alhidaaya.com/sw/node/4913
[3] http://www.alhidaaya.com/sw/node/4879
[4] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4929&title=Ugali%20Kwa%20Mchuzi%20Wa%20Samaki%20Wa%20Kuchoma%2C%20Nyanya%20Mshumaa%20Za%20Kukaanga%2C%20Achari%20%20