Swahiyh Fiqh As-Sunnah
كِتَابُ الزَّوَاجِ
Kitabu Cha Ndoa
الخِطْبَةُ وأَحْكَامُهَا
Posa Na Hukumu Zake
Alhidaaya.com [1]
17: Kama Mwanaume Hajapendezwa Na Mwanamke, Nini Afanye?
Kama mwanaume atamwangalia mwanamke na asimpendeze, basi analotakiwa ni kunyamaza. Haifai kutangazia chochote cha kumchafua mwanamke au familia yake. Yale ambayo hayakumpendeza yeye yanaweza yakamfurahisha mwingine. Ni vizuri pia asiseme kwamba hamtaki, hilo linaumiza, anyamaze tu.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11879&title=17-Swahiyh%20Fiqh%20As-Sunnah%3A%20Kitabu%20Cha%20Ndoa%3A%20Posa%20Na%20Hukumu%20Zake%3AKama%20Mwanaume%20Hajapendezwa%20Na%20Mwanamke%2C%20Nini%20Afanye%3F