Pilau Ya Nyama Kondoo Na Mtindi
Vipimo:
Nyama iliyokatwa vipande - 1 Ratili (LB)
Mchele Basmati - 2 Magi
Chumvi ya wali - kiasi
Kitungu kilichokatwa katwa - 1 kikubwa
Kitunguu saumu (thomu/garlic) na tangawizi - 1 kijiko cha supu
Mtindi (yogurt) - ½ kikombe
Mchanganyiko wa bizari ya pilau ya tayari - 2 vijiko vya supu
Mafuta kidogo yakukaangia
Bizari manjano (haldi) - nusu kijiko
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kuburudika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/44
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1010&title=Pilau%20Ya%20Nyama%20Kondoo%20Na%20Mtindi