Shurba Ya Nyama Ya Mbuzi Ya Sosi Ya Nyanya
Vipimo
Nyama ya mbuzi ya mifupa – 1 kilo
Mafuta - 2 vijiko vya supu
Vitunguu maji (vikate vidogo vidogo) - 2
Nyanya (kata ndogo ndogo) - 5
Kitunguu saumu (thomu/garlic) – kijiko cha supu
Tangawizi iliyosagwa - 1 kijiko cha supu
Bizari ya pilau ya unga (Jeera) - 1 kijijo cha chai
Gilgilani ya unga (Dania) - ½ kijiko cha chai
Pilipili manga ya unga - 1 kijiko cha chai
Mdalasini wa unga - ¼ kijiko cha chai
Chumvi - kiasi
Siki ya zabibu - 3 vijiko vya supu
Shayiri* /Hariys - 2 vikombe
* Shayiri ni aina ya ngano (oats) ila ni tofauti kidogo na ngano. Baadhi ya maduka inajulikana kama ni 'hariys'
Kidokezo:
Ikiwa shayiri nzima nzima, basi roweka kwa muda wa masaa na uchemshe mpaka ziive.
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kuburudika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/73
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1045&title=Shurba%20Ya%20Nyama%20Ya%20Mbuzi%20Ya%20Sosi%20Ya%20Nyanya