Kufukia Kucha Nini Hukmu Yake?
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
Alhidaaya.com [2]
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema katika kujibu swali:
“Jambo hili (la kufukia kucha) halina asili (katika dini), mtu akikata kucha zake anaweza kuzitupa na hakuna neon, hivyo hakuna haja ya kuzifukia”
[Fataawaa Nuwr ‘Ala Ad-Darb (5/6)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/205
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10958&title=Imaam%20Ibn%20Baaz%3A%20Kufukia%20Kucha%20Nini%20Hukmu%20Yake%3F