Halawiyaat Fatwaair Bil-Jibnah (Vitobosho Vitamu Kwa Jibini)
Vipimo:
Manda za sambusa za tayari - *idadi unayotaka
Jibini (cheese) ya vipande
(Ikiwa ni kiri kata kipande kimoja cha jibini katika vipande 5)
Lozi na pistachio zilizosagwa - 1 Kikombe
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Shira:
Sukari - 1 Kikombe
Maji - 3/4 Kikombe
Zaafarani rowanisha - 1 kijiko cha chai
Ipikie shira pamoja na zaafarani hadi iwe tayari, isiwe nzito
*Kidokezo:
Wingi wa Halawiyaat Fatwaair Bil-Jibnah zinategemea manda za sambusa na kiasi unachotaka mwenyewe, hivyo kila manda moja ya sambusa utie kipande kimoja cha jibini.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/185
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F2333&title=Halawiyaat%20Fatwaair%20Bil-Jibnah%20%20%28Vitobosho%20Vitamu%20Kwa%20Jibini%29