Chatine Ya Mtindi Na Nanaa
Vipimo:
Mtindi - 2 kikombe
Chumvi - kiasi
Pilipili mbichi - 1
Nanaa (mint leaves) - 1 msongo (bunch)
Kitunguu saumu(thomu/galic) - 5 chembe
Namna Ya Kutayarisha:
Kidokezo
Inaweza kuliwa na aina nyingi ya vyakula kama; dehii baree, biriani, nyama/kuku wa kuchoma, mishkaki, sambusa, kachori, katlesi viazi vya duara (chops), kababu na vinginevyo vingi.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/146
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F2953&title=Chatine%20Ya%20%20Mtindi%20Na%20Nanaa%20%20