Pweza Wa Kukaanga
Vipimo
Pweza - 1 Kilo
Mafuta - ½ kikombe
Chumvi - 1 kijiko cha chai
Tangawizi mbichi iliyosagwa - 1 kijiko cha chai
Kitunguu saumu (thomu/galic) iliyosagwa - 1 kijiko cha chai
Masala ukipenda - 1 kijiko cha supu
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Kidokezo:
Unaweza kumwagia masala kiasi baada ya kukaanga kama picha inavyo onyesha.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/107
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F3084&title=Pweza%20Wa%20Kukaanga%20