Chana Batata Za Urojo Na Chipsi Za Muhogo
Vipimo
Dengu nzima kavu - 2 Magi (mugs
Viazi - 8-10 Vikubwa
Nyanya - 2 kubwa
Unga wa ngano / wa dengu - ¾ Magi
Bizari ya manjano - ½ kijiko cha chai
Ndimu - kiasi (2 vijiko vya chai)
Chumvi - kiasi
Majani ya kihindi (curry leaves) - kiasi ( majani 15)
Embe mbichi zilizokatwakatwa - 2
Rai (mustard seed) - 1 kijiko cha chai
Pilipili ya mbuzi / ya unga - kiasi
Mafuta - ¼ kikombe
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Kidokezo:
Angalia upishi wa bajia na kachori kwenye vitafunio.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/46
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F3875&title=Chana%20Batata%20Za%20Urojo%20Na%20Chipsi%20Za%20Muhogo