Kuku Wa Karai Na Viazi (Pakistani)
Vipimo
Kuku - 1 mkubwa
Mafuta ya kukaangia viazi - kiasi
Kotmiri iliyokatwakatwa- 2 misongo (bunches)
Methi/fenugreek seeds/uwatu - ¼ kijiko cha chai
Haldi/tumeric/bizari ya manjano - ½ kijiko cha chai
Jiyra/cummin/uzile/bizari ya pilau - 1 kijiko cha chai
Kitunguu saumu(thomu/galic) - 7 chembe
Viazi/mbatata - 3
Nyanya/tungule- 6 - 7
Tangawizi mbichi - 1 kipande kiasi
Pilipili mbichi iliyosagwa- 1 kijiko cha chai
Ndimu - 1
Chumvi - kiasi
Mafuta ya kupikia - ¼ kikombe
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/108
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F5268&title=Kuku%20Wa%20Karai%20Na%20Viazi%20%28Pakistani%29