Sijui!!
Aliulizwa Imaam Ash-Sha'biy (Rahimahu Allaah) kuhusiana na mas-alah (katika Dini), akajibu: 'Sijui'
Akaambiwa: 'Je, hustahi kusema, 'Sijui'? Na wewe ni Faqiyh wa watu wa 'Iraaq?
Akajibu (Rahimahu Allaah): 'Lakini Malaika hawakustahi pindi waliposema:
{{...Hatuna elimu isipokuwa Uliyotufunza...}}!
[I'laam Al-Muwaqi'iyn, juz. 4, uk. 167-168]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/201
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7367&title=Imaam%20Ash-Sha%27biy%20-%20Sijui%21%21