Fatwaair Za Jibini Kwa Kunyunyizia Ufuta Na Habbat Sawdaa
Vipimo
Unga - 3 vikombe
Hamira - 1 kijiko cha kulia
Baking powder - ½ kijiko cha chai
Maziwa ya unga - ½ kikombe
Maji dafudafu (warm) - 1 kikombe
Mafuta au siagi - 1/3 kikombe
Sukari - 2 vijiko vya kulia
Yai - 1
Chumvi - ½ kijiko cha chai
Jibini (cheese) ya kukatakata - kiasi
Ufuta na habbah sawdaa (haba soda)- kiasi
Yai la kupakazia
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/186
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7441&title=Fatwaair%20Za%20Jibini%20Kwa%20Kunyunyizia%20Ufuta%20Na%20Habbat%20Sawdaa%20