Samaki Wa Changu Wa Kukaanga
Vipimo
Samaki changu - 3 wa kiasi
Bizari mchuzi - 2 vijiko cha supu
Pilipili nyekundu ya unga - 1 kijiko cha chai
Ndimu - 2 kamua
Chumvi - kisia
Mafuta ya kukaangia - kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/107
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7442&title=Samaki%20Wa%20Changu%20Wa%20Kukaanga