Kusherehekea Siku Ambazo Hazimo Katika Shariy’ah Ni Bid’ah
Imaam Ibn Rajab Al-Hanbaliy
Hakuna Shariy’ah kwa Waislamu kusherehekea siku yoyote ile isipokuwa ambayo imetajwa katika Shariy’ah kuwa ni siku za kusherehekewa.
Na siku ambazo zimewekewa Shariy’ah ni ‘Iydul-Fitwr, na ‘Iydul-Adhwhaa, na masiku ya Tashriyq, na siku ya Ijumaa.
Na ni bid’ah kufanya siku yoyote ile kuwa ni siku ya sherehe siku ambazo hakuna dalili katika Shariy’ah ya kufanya hayo.
[Latwaaif Al-Ma’aarif (228)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/201
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7610&title=Imaam%20Ibn%20Rajab%3A%20Kusherehekea%20Siku%20Ambazo%20Hazimo%20Katika%20Shariy%E2%80%99ah%20Ni%20Bid%E2%80%99ah