Vibibi Vya Tui Na Kunyuyuziwa Zabibu
Vipimo
Mchele vikombe 2
Unga wa ngano 1 kijiko cha kulia
Hamira kijiko 1 cha chai
Tui zito vikombe 2
Maziwa ya unga ¼ kikombe
Hiliki ½ kijiko cha chai
Sukari ½ kikombe
Samli ya kupikia
Vipimo Vya Tui La Kupakaza Juu Ya Vibibi
Tui zito la nazi 1
Unga wa ngano 1 kijiko cha supu
Sukari ½ kikombe
Maziwa mazito ½ kikombe
Hiliki ½ kijiko cha chai
Arki (rose flavour) ½ kijiko cha chai
Zabibu za kunyunyuzia kiasi
Namna Ya Kupika Tui La Vibibi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika Vibibi
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/185
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8535&title=%20Vibibi%20Vya%20Tui%20Na%20Kunyuyuziwa%20Zabibu%20