Haijuzu Kumpa Mchinjaji Wa Udhw-hiyah Nyama Kama Ujira Wake
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Je, inajuzu kumlipa mchinjaji nyama kama ndio ujira wake wa kuchinja?
JIBU:
Kumpa nyama mchinjai (aliyoichinja) kama ni ujira wake, haijuzu. Ama kumgaia kama zawadi hakuna ubaya.
[Majmuw’ Fataawa Wa Rasaail Al-‘Uthaymiyn (25/110)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/206
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8738&title=Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Hajj%3A%20Haijuzu%20Kumpa%20Mchinjaji%20Wa%20Udhwhiyah%20Nyama%20Kama%20Ujira%20Wake