Kilichoshadidi Zaidi Kulainisha Nyoyo Na Kuondosha Huzuni Ni Kusoma Qur-aan Kwa Kuzingatia
Imaam Wuhayb Ibn Al-Ward (Rahimahu Allaah)
Amesema Imaam Wuhayb Ibn Al-Ward (Rahimahu Allaah):
“Tumetazama hizi Ahaadiyth na Mawaidha lakini hatukuona kilicho shadidi zaidi katika kinacholainisha nyoyo au kuondosha huzuni kama kusoma Qur-aan kwa anayezingatia.”
[Hilyat Al-Awliyaa (8/143)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/269
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8922&title=Imaam%20Wuhayb%20Ibn%20Al-Ward%3A%20Kilichoshadidi%20Zaidi%20Kulainisha%20Nyoyo%20Na%20Kuondosha%20Huzuni%20Ni%20Kusoma%20Qur-aan%20Kwa%20Kuzingatia