11-Wenye Hedhi Na Nifaas Wanaruhusiwa Kula Mchana Wa Ramadhwaan
Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Alhidaaya.com [1]
SWALI:
Je Mwenye hedhi na Nifasi wanaruhusiwa kula mchana wa Ramadhwaan?
JIBU:
Naam. Wanaruhusiwa kula mchana wa Ramadhwaan lakini ni vyema iwe kwa siri na haswa kama kuna kijana katika nyumba kwa sababu huenda likamtatiza (akataka kufungulia Swawm).
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10080&title=11-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Wenye%20Hedhi%20Na%20Nifaas%20Wanaruhusiwa%20Kula%20Mchana%20Wa%20Ramadhwaan