Akinunua Mnyama Wa Udhwhiyah Kisha Akapata Maradhi Achinjwe
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Atakayenunua kichinjwa na kumchunga kisha akapata maradhi au kuvunjika mguu wake je, huchinjwa?
JIBU:
Atakayeainisha kichinjwa na kusema: “Hiki ndicho kichinjwa changu huwa ndio kichinjwa.”
a-Akipatwa na maradhi au kuvunjika na ikiwa wewe ndiye uliyesababisha basi hatochinjwa na yapasa kununua mbadala wake au kilicho bora zaidi.
b-Na ikiwa wewe hukusababisha basi atafaa.
[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/99)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10101&title=02-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Akinunua%20Mnyama%20Wa%20Udhwhiyah%20Kisha%20Akapata%20Maradhi%20Achinjwe