Hukumu ya Udhwhiya kwa Maiti
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah) amesema:
a-Udhwhiya ni kwa walio hai. Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alikuwa na ndugu waliokufa kabla lakini hakuwachinjia.
b-Atakapousia mtu kabla ya kufa kwake achinjiwe basi usia wake utafuatwa na atachinjiwa.
c-Achinje mtu kwa ajili yake na watu wa nyumbani kwake na anuie hilo walio hai na waliokufa.
d-Maiti kupwekeka na Udhwhiya si katika Sunnah.
[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/11]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10102&title=03-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Hukumu%20ya%20Udhwhiya%20kwa%20Maiti