Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas
27-Kuonja Chakula Mchana Wa Ramadhwaan Kwa Mwenye Swawm Inafaa?
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Alhidaaya.com [1]
SWALI:
Nini hukumu ya kuonja chakula katika mchana wa Ramadhwaan kwa mwanamke aliyefunga?
JIBU:
Si vibaya kulingana na haja iliyopo lakini ateme anachokionja baada ya kuonja.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10126&title=27-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Kuonja%20Chakula%20Mchana%20Wa%20Ramadhwaan%20Kwa%20Mwenye%20Swawm%20Inafaa%3F%20%20