Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas
38-Anayetokwa Majimaji Je Inasihi Aswali Qiyaamul-Layl Kwa Wudhuu Wa ‘Ishaa?
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Alhidaaya.com [1]
SWALI:
Je inasihi kwa mwanamke huyu (anayetokwa majimaji) kuswali Qiyaamul-Layl itapokatika nusu ya pili ya usiku kwa wudhu wa ‘Ishaa?
JIBU:
Hapana, itakapokatika usiku wa nusu ya pili inapasa kuchukua wudhu mwingine. Na imesemwa pia halazimiki kurejea kuchukua wudhu, na hii ndiyo rai iliyokubaliwa.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10145&title=38-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Anayetokwa%20Majimaji%20Je%20Inasihi%20Aswali%20Qiyaamul-Layl%20Kwa%20Wudhuu%20Wa%20%E2%80%98Ishaa%3F%20