Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas
42-Anapotokwa Na Majimaji Je Inatosha Aoshe Viungo Vya Wudhuu Pekee?
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Alhidaaya.com [1]
SWALI:
Kuhusuana na udhu wa majimaji hayo je itatosheleza kukosha viungo vya udhu tu?
JIBU:
Naam, itatosheleza hilo pindi ikiwa ni tohara nayo ni ambayo inatoka kwenye nyumba ya kizazi na sio kwenye kinena.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10163&title=42-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Anapotokwa%20Na%20Majimaji%20Je%20Inatosha%20Aoshe%20Viungo%20Vya%20Wudhuu%20Pekee%3F