Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas
43-Kuna Hadiyth Kuhusu Kutokwa Majimaji?
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Alhidaaya.com [1]
SWALI:
Ni kwa nini haikunukuliwa kutoka kwa Nabiy Hadiyth inayothibitisha kutenguka kwa uwdhu kutokana na majimaji yale pamoja na kuwa Maswahaba walikuwa wakijali mno kutoa fatwa katika mambo ya Sini yao?
JIBU:
Ni kwa kuwa majimaji haya hayamtoki kila mwanamke.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10164&title=43-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Kuna%20Hadiyth%20Kuhusu%20Kutokwa%20Majimaji%3F