Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas
44-Wanawake Wasiojua Kutawadha Nini Hukmu Yake
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Alhidaaya.com [1]
SWALI:
Nini hukumu ya kutokujua hukumu ya kutawadha kwa baadhi ya wanawake?
JIBU:
Ni kutubia kwa Allaah na kuwauliza wenye elimu ya hilo.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10165&title=44-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Wanawake%20Wasiojua%20Kutawadha%20Nini%20Hukmu%20Yake