Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas
58-Mwenye Hedhi Siku Ya ‘Arafah Afanye Nini?
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Alhidaaya.com [1]
SWALI:
Mwanamke akiwa na hedhi siku ya ‘Arafah afanye nini?
JIBU:
Mwanamke akiwa na hedhi siku ya ‘Arafah basi ataendelea na Hijjah yake na kufanya wanaofanya watu wala haruhusiwi kutufu katika Nyumba (Al-K’abah) hadi atoharike.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10195&title=58-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Mwenye%20Hedhi%20Siku%20Ya%20%E2%80%98Arafah%20Afanye%20Nini%3F