Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas
59-Akiwa Katika Hedhi Baada Ya Jamarah Kabla Ya
Twawaaf Al-Ifaadhwah Na Hawezi Kurudi Baada Ya Safari
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Alhidaaya.com [1]
SWALI:
Mwanamke akiwa na hedhi baada ya Jamarah (Kurushwa vijiwe) katika Al-‘Aqabah na kabla ya Twawaaf Al-Ifaadhwah, nae akiwa katika kundi pamoja na mumewe na marafiki wake, juu yake ni nini afanye pamoja na elimu ya kuwa hawezi kurejea baada ya safari yake?
JIBU:
Kama hawezi kurudi basi atajihifadhi vizuri kisha atatufu kwa hali ya dharura wala isiwe kitu juu yake, na kukamilisha baki ya ‘ibaadah za matendo ya Hijjah.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10196&title=59-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Akiwa%20Katika%20Hedhi%20Baada%20Ya%20Jamarah%20Kabla%20Ya%20Twawaaf%20Al-Ifaadhwah%20Na%20Hawezi%20Kurudi%20Baada%20Ya%20Safari%20