Al-Arba’uwn An-Nawawiyyah: [1]
Hadiyth Ya 18
اتَّقِ اللهَ حَيْثُما كنْتَ
Mche Allaah Popote Ulipo
Alhidaaya.com [2]
عن أبي ذَرٍّ جُنْدُب بِن جُنَادَة، وأبي عبد الرحمن مُعَاذ بِن جَبَلٍ رضي الله عنهما، عن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال: ((اتَّقِ اللهَ حَيْثُما كنْتَ، وأَتْبِعِ السَّيئةَ الحسنةَ تَمْحُها، وخالقِ الناسَ بخُلُقٍ حسنٍ)) رَوَاهُ التِّرْمِذِيُّ وَقَالَ: حَدِيثٌ حَسَنٌ، وَفِي بَعْضِ النُّسَخِ: حَسَنٌ صَحِيحٌ.
Imepokelewa kutoka kwa Abuu Dharr Jundub bin Junaadah Na Abuu ‘Abdir-Rahmaan Mu’aadh bin Jabal (Radhwiya Allaahu 'anhumaa) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ““Mche Allaah popote pale ulipo. Na fuatisha kitendo kiovu kwa kitendo kizuri ili kikifute (kilicho kiovu), na ishi na watu kwa tabia nzuri.” [At-Tirmidhiy na kasema ni Hadiyth Hasan. Na katika baadhi ya nukuu: Hasan Swahiyh]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/node/961
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] http://www.alhidaaya.com/swahili/hadiyth/Hadiyth%2040%20An-Nawawiy/18-Mche%20Allaah%20Popote%20Ulipo.mp3
[4] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1105&title=18-Al-Arba%E2%80%99uwn%20An-Nawawiyyah%3A%20Mche%20Allaah%20Popote%20Ulipo