Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب تحريم الحسد
017-Mlango Wa Kukatazwa Hasadi
Alhidaaya.com [1]
قال الله تَعَالَى :
أَمْ يَحْسُدُونَ النَّاسَ عَلَىٰ مَا آتَاهُمُ اللَّـهُ مِن فَضْلِهِ ۖ ﴿٥٤﴾
Au wanawahusudu watu (Nabiy Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم na Waumini) kwa yale Aliyowapa Allaah katika Fadhila Zake? [An-Nisaa: 54]
وعن أَبي هريرة رضي اللهُ عنه: أنَّ النَّبيَّ صلى الله عليه وسلم قَالَ : (( إيَّاكُمْ وَالحَسَدَ ؛ فَإنَّ الحَسَدَ يَأكُلُ الحَسَنَاتِ كَمَا تَأكُلُ النَّارُ الحَطَبَ )) أَوْ قَالَ : (( العُشْبَ )) . رواه أَبُو داود .
Imepokewa kutoka kwa Abu Huraiyrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kuwa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Tahadharini hasadi, kwani hasadi hula hasanati (amali njema) kama moto unavyokula kuni." au alisema: "Majani/malisho." [Abuu Daawuwd]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11308&title=017-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Kukatazwa%20Hasadi