Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب كراهية تعليق الجرس في البعير وغيره من الدواب
وكراهية استصحاب الكلب والجرس في السفر
054-Mlango Wa Ukaraha wa Kuwafunga Kengele Ngamia na Wanyama Wengine na Ukaraha wa Kumchukua Mbwa na Kengele katika Safari
Alhidaaya.com [1]
Hadiyth – 1
عن أبي هريرة رضي الله عنه قال : قالَ رسولُ الله صلى الله عليه وسلم : (( لاَ تَصْحَبُ المَلاَئِكَةُ رُفْقَةً فِيهَا كَلْبٌ أوْ جَرَسٌ )) . رواه مسلم .
Imepokewa kutoka kwa Abu Huraiyrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Malaaikah wa rehma hawafuati msafara ulio na mbwa au kengele." [Muslim]
Hadiyth – 2
وعن أبي هريرة رضي الله عنه قال : أنَّ النَّبيَّ صلى الله عليه وسلم ، قال : (( الجَرَسُ مَزَامِيرُ الشَّيْطَانِ )) . رواه مسلم .
Imepokewa kutoka kwa Abu Huraiyrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kuwa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Kengele ni katika zumari za shetani." [Muslim]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11373&title=054-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Ukaraha%20wa%20Kuwafunga%20Kengele%20Ngamia%20na%20Wanyama%20Wengine%20na%20Ukaraha%20wa%20Kumchukua%20Mbwa%20na%20Kengele%20katika%20Safari