Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب كراهة قول : ما شاء اللهُ وشاء فلان
080-Mlango Wa Ukaraha wa Kusema: Akipenda Allaah na Akapenda Fulani
Alhidaaya.com [1]
عن حُذَيْفَةَ بنِ اليمانِ رضي الله عنه ، عن النبيّ صلى الله عليه وسلم ، قال : (( لاَ تَقُولُوا : مَا شَاءَ اللهُ وَشَاءَ فُلاَنٌ ؛ وَلكِنْ قُولُوا : مَا شَاءَ اللهُ ، ثُمَّ شَاءَ فُلاَنٌ )) . رواه أبو داود بإسناد صحيح .
Imepokewa kutoka kwake Hudhayfah bin Al-Yamaan (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Usiseme: 'Akitaka Allaah na kutaka fulani', lakini sema: 'Akipenda Allaah, kishaa akapenda fulani'." [Abu Daawuwd kwa Isnaad iliyo Swahiyh]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11400&title=080-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Ukaraha%20wa%20Kusema%3A%20Akipenda%20Allaah%20na%20Akapenda%20Fulani