Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب تحريم امتناع المرأة من فراش زوجها
إِذَا دعاها ولم يكن لَهَا عذر شرعي
082-Mlango Wa Uharamu wa Mke Kukataa Mwito wa Mumewe Anapomuita Kitandani na Hana Udhuru Wowote wa Kisheria
Alhidaaya.com [1]
عن أَبي هريرة رضي الله عنه ، قَالَ : قَالَ رسولُ الله صلى الله عليه وسلم : (( إِذَا دَعَا الرَّجُلُ امْرَأتَهُ إِلَى فِرَاشِهِ فَأبَتْ ، فَبَاتَ غَضْبَانَ عَلَيْهَا ، لَعَنَتْهَا المَلاَئِكَةُ حَتَّى تُصْبحَ )) متفق عَلَيْهِ .
وفي رواية : (( حَتَّى تَرْجعَ )) .
Imepokewa kutoka kwa Abu Huraiyrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Anapomuita mume, mkewe kwenye firasha (kwa jimai) na asije, hivyo mume kulala akiwa na hasira, mke analaaniwa na Malaaikah mpaka kunapopambazuka." [Al-Bukhaariy na Muslim]
Na katika riwaayah nyengine: "Mpaka atakaporudi (na kumtekelezea mumewe mahitaji yake)."
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11402&title=082-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Uharamu%20wa%20Mke%20Kukataa%20Mwito%20wa%20Mumewe%20Anapomuita%20Kitandani%20na%20Hana%20Udhuru%20Wowote%20wa%20Kisheria