Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب تحريم الجلوس عَلَى قبر
094-Mlango Wa Uharamu wa Kukaa Juu ya Kaburi
Alhidaaya.com [1]
عن أَبي هريرة رضي الله عنه قَالَ : قَالَ رسولُ الله صلى الله عليه وسلم : (( لأنْ يَجْلِسَ أحَدُكُمْ عَلَى جَمْرَةٍ ، فَتُحْرِقَ ثِيَابَهُ فَتَخْلُصَ إِلَى جِلْدِهِ خَيْرٌ لَهُ مِنْ أنْ يَجْلِسَ عَلَى قَبْرٍ )) . رواه مسلم .
Imepokewa kutoka kwa Abu Huraiyrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Laiti mmoja wenu angalikalia kaa la moto ikaunguza nguo zake na ukapenya hadi kwenye ngozi yake ni bora zaidi kuliko kukaa juu ya kaburi." [Muslim]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11414&title=094-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Uharamu%20wa%20Kukaa%20Juu%20ya%20Kaburi