Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب كراهة رد الريحان لغير عذر
106-Mlango Wa Ukaraha wa Kurudisha Zawadi ya Manukato Bila Udhuru
Alhidaaya.com [1]
Hadiyth – 1
عن أبي هريرة رضي الله عنه قال : قال رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم : (( مَنْ عُرِضَ عَلَيْهِ رَيْحَانٌ ، فَلاَ يَرُدَّهُ ، فَإنَّهُ خَفيفُ المَحْمِلِ ، طَيِّبُ الرِّيحِ )) . رواه مسلم .
Imepokewa kutoka kwa Abu Huraiyrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Mwenye kupatiwa zawadi ya manukato asirudishe, kwani ni nyepesi kubebwa na yenye harufu nzuri." [Muslim]
Hadiyth – 2
وعن أنس بن مالكٍ رضي الله عنه : أنَّ النَّبيَّ صلى الله عليه وسلم كَانَ لاَ يَرُدُّ الطِّيبَ . رواه البخاري .
Imepokewa kutoka kwa Anas bin Maalik (Radhwiya Allaahu 'anhu) kuwa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) hakuwa ni mwenye kurudisha zawadi ya manukato. [Al-Bukhaariy]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11427&title=106-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Ukaraha%20wa%20Kurudisha%20Zawadi%20ya%20Manukato%20Bila%20Udhuru