Uswuul al-Fiqh ni sayansi ambayo, hoja na ufunuo (wahy) unakaa pamoja kwa kushirikisha rai yakinifu na shari'ah iliyopokewa. Lakini bado, al-Uswuul haitegemei
Kitabu hichi ni hatua ya kurahisisha Uswuul al-Fiqh na utangulizi wake kwa wataalamu katika sayansi ya jamii na wale ambao hawana nafasi ya kusoma kwa ndani maelezo ya sayansi hiyo.
Links
[1] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1708&title=01-Uswuul%20Al-Fiqhi%3A%20Kuhusu%20Kitabu%20Hichi